Bryan Mosses:Waandishi wa habari hakikisheni mnachukua tahadhari ya kujikinga na corona katika maeneo yenu ya kazi.

Na Barnabas kisengi Dodoma February  01  2021 Wanachama wa chama cha waandishi wa habari mkoa wa Dodoma CPC wametakiwa kufuata maelekezo yanayotolewa na wizara ya afya kwa kuhakikisha wanafuata kanuni na sharia ya afya katika kuhakikisha wanajikinga na ugonjwa wa covid 19 ambao bado unasumbua dunia kwa ujumla Wito huo umetolewa jijini Dodoma na mwandishi wa